here

Thursday, August 31, 2017

Kada wa UVCCM Aliyejifanya Usalama wa Taifa Kaachiwa Huru Tena

Aliyekuwa Mwenyekiti wa UVCCM Mkoa wa Arusha, Lengai ole Sabaya ambaye alikuwa anakabiliwa na kosa la kughushi na kutumia kitambulisho cha Usalama wa Taifa.

Hatua hiyo imekuja baada ya upande wa Jamhuri kusema kuwa haina sababu ya kuendelea na kesi hiyo
 
Hii ni mara ya nne shauri hilo linafikishwa Mahakamani lakini linaondolewa kwa sababu ya  Jamhuri kutotaka kuendelea nayo.

Harbinder Sethi wa Escrow kawekewa Maputo tumboni

Wakili wa mshtakiwa Harbinder Sethi, Joseph Makandege ameulalamikia upande wa Jamhuri kwa kushindwa kumpeleka mteja wake Hospitali ya Taifa Muhimbili kama Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, ilivyoamuru.

Amedai hali hiyo inahatarisha afya ya mteja wake kwani akikosa kupata matibabu sahihi anaweza kupoteza maisha kutokana upasuaji aliofanyiwa uliosababisha kuwekewa maputo tumboni.

“Mara mbili mahakama ilitoa amri ikielekeza utawala wa Magereza kumpeleka mshtakiwa wa kwanza Muhimbili , amri ilitolewa baada ya mahakama kukubaliana na hoja za upande wa utetezi, lakini badala ya kumpeleka Muhimbili, Magereza walimpeleka mshtakiwa Hospitali ya Amana.

“Kwa taarifa za kitabibu ni kwamba hali ya mshtakiwa wa kwanza isipohudumiwa ipaswavyo inaweza kusababisha kifo kwani maputo yanaweza kupasuka tumboni , mahakama iliekeza mshtakiwa apelekwe moja kwa moja Muhimbili ambayo ni hospitali ya juu kabisa ya Serikali, ndio nategemea inaweza kuwa na wataalamu na vifaa thabiti kwa ajili ya matatizo yanayomkabili mshtakiwa wa kwanza,” amedai.

Makandege alidai amri zote zilizotolewa na mahakama hazijatekelezwa , aliomba mahakama itoe amri nyingine ya kuutaka upande wa Jamhuri kuamuru amri iliyotolewa itekelezwe.

Akijibu Wakili wa Serikali Mkuu, Vitalis Peter amedai Jamhuri haijakaidi amri ya mahakama na kwamba Magereza wana utaratibu wao ambapo wanahojiana na mgonjwa wakiona tatizo lake hawana utaalamu nalo wanampa rufaa kwenda Muhimbili. Kesi hiyo imeahirishwa hadi Septemba 14 mwaka huu kwa ajili ya kutajwa.

Washtakiwa katika kesi hiyo mshtakiwa Seth na James Rugemarila, wanakabiliwa na kesi ya uhujumu uchumi ikiwa na mashitaka 12 yakiwemo ya kutakatisha fedha hivyo kuwafanya wakose dhamana

Wednesday, August 30, 2017

RESEARCHERS TO IDENTIFY WHEN YOU CAN INSULT YOUR FRIEND'S EX

o TWO WOMAN FIGHTING facebookSCIENTISTS are hoping to identify the earliest point at which you can tell your friend their ex was a nightmare.
Traditionally-established timescales have proven unreliable, with many people having to retract vile but accurate insults when the relationship restarts.
Researchers have now begun work on a complex formula to calculate the right time to ask a friend what in the name of god they were thinking.
Dr Julian Cook said: “Factors will include length and closeness of friendship and the extent to which the ex was so utterly hellish and unbearable.”
Tom Logan, from Hatfield, added: “My friend finally ended a three-year relationship with her boyfriend when he sold her house to buy a speedboat, which he then crashed into a roundabout.
“I resisted my natural instinct to throw her a ‘thank Christ for that’ party and ended up being accused of negligence because I hadn’t told her that he was a colossal twat.

“Hopefully I’ll have another shot at getting it right as she’s just started dating an ex-squaddie.

26 YEAR-OLD GIRL WHO HAD 26 ABORTIONS TELLS HER SEX STORIES

26 years old ladyI am 26 years old. I simply got into sex out of ignorance like millions of young people today. My addiction placed me as the highest abortionist in the world at age of 26 and now, I have a sad story to tell.
Until I found myself in a total mess, I never really had any Idea what premarital sex was all about. I never knew it was so useless and killing. Before I got into it, I use to think it was some fun and I dreamt of it more often than not. I wished with all my heart to have a boyfriend whom we would explore it together, little did I know that I was being nasty to myself.

Because of things I see on TV and magazine, I thought having sex was so much fun, I fantasized about it each time I felt lonely. Only if I had known that everything I see in movies and soap operas were just acting and make belief; only if I had known that there is nothing in sex after all, the only thing in it is self destruction; I think my life wouldn’t be this miserable.
It’s a pity i really had to learn the hard way and I really wish I had never been born, I wish I had not come out into this deceitful world where nobody cares about young people, all the so called adults do is how they would play on the intelligence of young people in a bid to exploit and use them to satisfy their insatiable sexual passion. I really feel bad about this wicked world.

My plight started when I was sixteen, then I was still a virgin and in secondary school, I was ignorant of many things but because I see it every day on the TV and internet. More so, a couple of so called Anti AIDS people visited us in school a couple of times for lectures, but all they did was introduce sex to us even more because they really had nothing but condoms to show.

Fine, they told us about AIDS, but at the same time, they also told us about condoms, they never really said anything real about sex, they said we could contact AIDS not through sex, but unprotected sex, which means there was nothing wrong with sex as long as you could use condoms, but all of that I now know very well are lies, and I wonder why men and women would enjoy telling teenagers deadly lies like that.

Even though I can’t blame those people totally for my plight because they weren’t really the ones that said I should go into sex, I still never forgive them for encouraging me and other young people like me into sex with their preaching of protected sex or condom. Even though I wanted to see what sex was really like and I fantasized about it, some were within me, I was still very scared of what may happen to me afterwards if l tried it, and it was that fear that actually kept me away from it until I was sixteen.

By the time I was sixteen, my fantasy had gotten enough boost to express itself with reliance to said to myself one day, “free yourself baby girl, there is nothing terrible in sex, can’t you see everyone is doing it, by the way, you can always use condoms nothing will happen”. So, I finally decided to let go of my fears and embrace in totality my silly fantasies, and that was how I took the very first step into this miserable life of illicit sex. I had absolutely no idea of what I was going into.

I finally agreed to date this guy who had been disturbing me for more than a year, his name was Andrew. Andrew was five years older than me. Both of us began enjoying sex, - we did it every seconds, every minute; - I became addicted that I do not love doing it with condom anymore. Within the period, I had 14 abortions for Andrew, and not only that, I cheated on him in several occasions, I felt doing it with other guys will give me better sensation but all were the same.

My school teacher got me and at the end of the day I had 6 abortions for him. And worst among was my sexual affairs with my close relations, which resulted to 5 abortions. Then I felt I was at the top of the world. I will never forgive my friends who introduced me into partying and sleeping with old men with potbelly and rough skin only in the name of sex.

Right now, all those men have gone, and then shadow of my past sexual life still follows me around. All this pills and tablets I took are now telling on my blood stream. At times I felt like committing suicide each time I remember what the doctor told me, “Tessy, I am sorry, your womb is automatically damaged on account of the several abortion you had”, “I’m sorry, you will never conceive again in your life, but just thank God, you don’t have HIV or AIDS”.

I therefore, advise every young girl reading this piece today, to over look every fantasy towards sex. Sex is good but it has time. And that is in marriage. Keep yourself away from men. Make friends with those who mean good for your future

Zijue faida za uaminifu katika mahusiano ya Ndoa

Suala la uaminifu katika mapenzi kwa karne hii limekuwa kikwazo kikubwa kwa watu wengi sana, wengi wemekuwa si waaminifu wakati mwingine kupelekea mahusiano hayo kufa.

Hivyo uaminifu ni muhimu sana katika mapenzi kwa kuwa katika mahusiano ya kimapenzi kuna faida nyingi kwa mwili na akili. Watu walio katika mahusiano bora ya mapenzi huishi maisha marefu na kufurahia afya njema kuliko wale wasiokuwa katika mahusiano ya aina hiyo.

Faida hii haina pingamizi
kwa sababu ya ukweli kwamba watu wanaokuwa katika mahusiano ya karibu wanajijengea hisia na nguvu fulani ambayo huwasaidia kusaidiana na kujaliana wakati wa shida. Siyo tu kwamba watu walioko katika mahusiano ya aina hii wanaishi muda mrefu lakini pia ni kweli kwamba wanakuwa na furaha na wanaridhika na maisha kuliko wale wanaoshindwa kukaa katika mahusiano.

Pili, kuwa katika mahusiano mazuri ya mapenzi kunasaidia katika mambo mbalimbali ya kimahitaji. Kusaidiana katika mahitaji mbalimbali baina ya wapenzi ni njia nzuri ya kuwa na maendeleo. Watu wawili wanaoshirikiana pamoja mara nyingi watakuwa na maisha mazuri zaidi ya yule anayefanya peke yake.

Unapokuwa na mtu karibu wa kusaidiana naye katika mahitaji ni rahisi kupata mafanikio. Watu walio katika mahusiano mazuri wanapata msaada wa kijamii; kwa maana ya kuwa na mtu wa karibu ambaye anajali mahitaji yako ya msingi na hisia zako. Kuwa na msaada
wa aina hii kuna faida nyingi, mojawapo muhimu ni kuweza kufanya maamuzi ya busara bila kuwa na mtindio wa mawazo na hofu ama mashaka.

Kuwa na mwenza katika maisha hufanya maisha kuwa ya faraja zaidi.
Kuwa na mtu ambaye mnaweza kushirikiana mambo madogo madogo ya maisha kama kuangalia Tv, kutembea, kula pamoja ni muhimu; inaboresha mahusiano na mara nyingi watu walio katika mahusiano ya aina hii wamekuwa na maisha bora zaidi.

Mahusiano ni muhimu kwa sababu wapenzi wana kawaida ya kuangaliana tabia zao hasa zile ambazo ni haribifu, na wamekuwa na kawaida ya kuonyana ama kushauriana kuacha kufanya mambo mabaya na tabia mbaya.

Kwa mfano watu walio katika mahusiano ya karibu wamekuwa na tabia ya kujaribu kuwashauri wapenzi wao kuacha kuvuta sigara, kupunguza pombe, kuacha kutumia madawa ya kulevya

Makosa wanayofanya wanawake katika mahusiano ya kimapenz

Zipo sababu mbalimbali ambazo huchangia mahusiano mengi ya kimapenzi kufa, na miongoni mwa tabia hizo ni pamoja na zile tabia ambazo wanawake hao wamekuwa wakiziendekeza na miongoni mwa tabia hizo ni kama ifutavyo;

  1. Kauli mbaya kwa mmewe. Unakuta mwanamke anarepu mbele ya mme wake utafikiri kafingiwa mota mdomoni.
  2. Uchafu. Unakuta baadhi ya wanawake akioga usiku mpaka usiku mwingine. Ngua ya ngani ukiangalia utafikiri mafundi wapiga plasta ukuta.
  3. Kukataa kufanya tendo la ndoa wakisingizia wamechoka.
  4. Dharau.
  5. Kuwa na michepuko ya wanaume wa nje.
  6. Pesa. Wanawake wakipata pesa uona wanaume wao si lolote.
  7. Elimu . Mwanamke akisoma na kumzidi mmewe basi anaona hata tendo la ndoa kufanyika maamuzi ni yake mwenyewe. Upatikanaji wa elimu kwa mwanamke umesababisha mahudiano mengi kufa.
  8. Madaraka. Ukifanya utafiti mdogo tu utakuta wanawake walio wengi wenye madaraka hawapo kwenye ndoa.  Wanaona kupata madaraka basi na masuala ya kimapebzi hayana nafasi yena.

Liverpool waibomoa Arsenal, wamnyakuwa winga tegemezi

Hatimaye aliyekuwa mchezaji wa Arsenal, Alex Oxlade-Chamberlain amefanikiwa kusaini mkataba wa kujiunga na Liverpool.

Mchezaji huyo amejiunga na Majogoo hao wa Anfield kwa ada ya uhamisho wa paundi milioni 40.

Awali Chamberlain alikuwa akiwaniwa kwa ukaribu na Chelsea ambayo hakufanikiwa kuipata saini yake.

Hata hivyo mchezaji huyo amewashangaza mashabiki wengi baada ya kukataa kuongeza mkataba mpya na Arsenal ambao ungemfanya kuweza kulipwa kiasi cha paundi 180,000 kwa wiki na badala yake amekubali kujiunga na Liverpool kwa kulipwa mshahara wa paundi 120,000 kwa wiki

Ne-Yo, Diamond Platnumz ‘kuamsha dude’ Uingereza

Msanii wa muziki wa Pop na RnB kutoka Marekani, Neyo  amemjumuisha Msanii kutoka Tanzania   Diamond Platnumz kwenye ziara yake ya kimuziki nchini Uingereza.

Orodha ya miji na kumbi atakazotumbuiza Ne-Yo na Diamond Platnumz kwenye ziara yake nchini Uingereza

Ne-Yo amethibitisha hilo na kutoa ratiba yake kamili ya Tour yake ambayo iliahirishwa mara mbili, mwishoni mwa mwaka jana na mwezi Machi mwaka huu baada ya kutokea mashambulizi ya kigaidi jijini Manchester nchini Uingereza.

Tour hiyo itaanza tarehe 13 hadi 23 Septemba mwaka huu na atatumbuiza miji nane nchini humo kote akiwa na Diamond Platnumz.

Hii inakuwa ni ziara kubwa ya kwanza kwa Diamond Platnumz kupewa shavu la kutumbuiza kwenye tour ya Msanii mkubwa duniani, hivyo watanzania tusubiri neema kwenye muziki wetu itakayopatikana baada ya ziara hiyo iliyopokelewa kwa mikono miwili na Waingereza

Monday, August 28, 2017

Topic: strange experience

3 years ago I had sex with a lady whom I met for the first time through the editor of best lover magazine, he called me up and said he had a lady for me who wanted to fuck, I said cool I'm game, asked him to give her my mobile number. She called and asked if we could meet, we met same day. 

She and I went for HIV test before she could have sex with me protected or unprotected, she insisted we went for a test, results came out in an hour time after waiting in the Catholic hospital in Festac, we were both negative, she was so elated, said we could both fuck, we headed for the hotel in Festac, she paid and we got in, she said we would skin dive and not make use of a condom, she said she doesn't like condoms 1 bit, we fucked just one round, came inside her, cleaned up first, then she went to the bathroom and cleaned up, was waiting for her to return, only for me to see she her getting dressed. 

She got dressed, so did I too and we both left the room. That was it between she and I. Since then her phone line never connected again. Called the editor of the magazine to know if he heard from her, he said no that her number wasn't clicking, she only called him to tell him thank you for hooking her up with me

Hospitali ya Kairuki Yashitakiwa Kwa Kufanya Opareshen na Kisha Kusahau Vitu Tumboni

Mkazi  wa jijini Dar es Salaam, Khairat Omary, ameishtaki Hospitali ya Kairuki na kudai fidia ya Sh milioni 155 kwa kumsababishia matatizo katika mfuko wa uzazi yaliyofanya aondolewe kizazi.

Khairat kupitia Kampuni ya Uwakili ya Jonas amefungua kesi ya madai namba 184 katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu na imepangwa kusikilizwa mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Thomas Simba.

Katika madai hayo, mdai anadai alikuwa akihudhuria kliniki wakati wa ujauzito katika hospitali hiyo na Desemba 15 mwaka jana alijifungua kwa upasuaji, akaruhusiwa Desemba 17 mwaka huo na kutakiwa kurudi tena Desemba 21.

Mdai akiwa nyumbani alianza kusikia maumivu ikiwamo kutapika, ilipofika Desemba 21 alirudi hospitali akaeleza maumivu anayopata kwa daktari ambaye alielekeza afanyiwe kipimo cha Ultra Sound.

Majibu yalipotoka daktari akampatia dawa za kutuliza maumivu na kumtaka apumzike hali itaendelea kuimarika.

“Akiwa nyumbani hali iliendelea kuwa mbaya, alisikia maumivu makali ya kichwa na alianza kubadilika rangi ambapo alikimbizwa hospitali ya jirani, walipompima wakaelekeza apelekwe Regency Hospital kwa matibabu zaidi.

“Regency walimfanyia vipimo na kubaini kuna tatizo katika mfuko wa uzazi na kumuhamishia Hospitali ya Taifa Muhimbili ambako pia walimfanyia vipimo na kubaini wakati alipofanyiwa upasuaji kuna vitu vilibakia kama pamba ambavyo vimesababisha mfuko wa uzazi kuharibika,” ilisema sehemu ya hati hiyo ya madai.

Anadai ili kuokoa maisha yake alishauriwa kuondolewa kizazi, hata hivyo licha ya kuondolewa alibakia na tatizo la fístula lililosababishwa na pamba zilizoachwa wakati anajifungua.

Mdai anadai kutokana na uzembe huo wa kutokuwa makini wakati wa kumzalisha anaomba mahakama iamuru alipwe Sh milioni 20 gharama za matibabu, Sh milioni 25 fidia kwa kukosa kipato wakati anaumwa, Sh milioni 80 gharama za adhabu na Sh milioni 30 fidia.

Wadaiwa wanatakiwa kupeleka utete wao mahakamani na kesi hiyo itatajwa Agost 31, mwaka huu

Kesi ya Kupinga Ushindi wa Uhuru Kenyatta Yaanza Kusikilizwa Kenya

Mahakama Kuu nchini Kenya imeanza kusikiliza kesi ya kupinga ushindi wa Rais wa Kenya,Uhuru Kenyata, iliyotakiwa kuanza kusikilizwa jana.

Kesi hiyo ilitakiwa kuanza jana   jioni baada ya kumalizika kwa hatua ya kwanza iliyofanyika juzi kwa pande zote tatu yaani upande wa NASA, Jubilee na Tume ya Taifa ya Uchaguzi na Mipaka nchini humo(IEBC) kuwasilisha mahakamani hoja zao za maandishi.

 Msajili wa Mahakama hiyo, Esther Nyaiyaki akinukuliwa na  gazeti la Kiingereza la Standard nchini humo bila kueleza mabadiliko hayo alisema itasikilizwa leo.

Kesi hiyo inatokana na uamuzi wa Muungano wa vyama vya upinzani NASA chini ya mgombea wake Raila Odinga kupinga matokeo ya uchaguzi wa urais wa Agosti 8, wakidai kuwa haukuwa wa haki na huru.

Odinga amepinga  matokeo yaliyotangazwa Agosti 11, mwaka huu na Tume hiyo yakimtambua Rais Uhuru Kenyatta wa Muungano wa Jubilee kuwa mshindi wa kiti cha urais katika ungwe ya pili akipata kura 8, 203, 290 sawa na asilimia 54.27 huku mpinzani wake mkuu, mgombea wa Muungano wa upinzani wa NASA, Raila Odinga akIpata kura milioni 6,762,224 sawa na asilimia 44.74.

Odinga hakukubaliana na matokeo hayo hadharani na aliamua kuwasilisha stakabadhi zake mahakamani hapo ikiwa ni saa nane kabla ya tarehe ya mwisho. Baadaye, Agosti 24, mwaka huu, Rais Uhuru Kenyatta na Naibu wake William Ruto kwa upande wao, pia waliwasilisha stakabadhi zao kuhusiana na kesi hiyo.

Odinga ambaye alikuwa ni miongoni mwa wagombea nane wa kiti hicho cha urais, alilalamika pia kuwapo hujuma za Rais Uhuru Kenyatta kutumia mamlaka yake vibaya katika kuingilia mfumo wa tume hiyo

Watu 7 Wafariki kwa Ajali

Picha sio ya tukio
 
Watu saba wamefariki katika ajali mbili tofauti ambapo ajali ya kwanza watu wawili wa familia moja wamepoteza maisha na wengine sita kujeruhiwa katika ajali ya gari dogo aina ya Kluger iliyotokea eneo la Masaki mkoani Pwani leo.

Majeruhi sita wa ajali ya gari ndogo iliyotokea mkoani Pwani wamelazwa katika hospitali ya wilaya ya Kisarawe mkoani Pwani na taratibu zinafanyika ili kupelekwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili kwa matibabu zaidi kutokana na hali zao kuwa mbaya.

Aidha watu wengine watano wamefariki dunia na wengine zaidi ya 20 kujeruhiwa katika ajali iliyohusisha lori la mzigo lililokuwa limebeba abiria mkoani Singida.

Ajali zote mbili zimesababisha vifo vya watu saba huku wengine 26 wakiwa ni majeruhi

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumanne ya August 29

Msukuma amjibu tena Tundu Lisu

Siku moja baada ya Rais wa TLS na Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu kutoa wito kwa Mawakili wote ambao ni Wanachama wa chama hicho kususia shughuli za Mahakama, Mbunge wa Geita Vijijini Joseph Msukuma amejitokeza na kumpinga.

Licha ya kusikitishwa na kitendo cha kuvamiwa na kulipuliwa kwa Ofisi za IMMMA Advocates, Msukuma amesema kitendo cha Chama cha Mawakili kutangaza mgomo ni kutowatendea haki wateja wao kwa siku zote watakazoamua kususia shughuli za Mahakama.

”Watanzania kwa pamoja tunalaani kitendo kilichofanywa kwenye Ofisi za IMMMA Advocates kwa sababu ni kitendo cha kinyama na kihalifu. Tunamuomba IGP Sirro afanye juu chini kuhakikisha watu hawa wanakamatwa.

“Nilishtushwa sana na matamko yaliyotolewa na Rais wa TLS, Tundu Lissu jana kwamba anatangaza mgomo wa Wanasheria kuanzia kesho na keshokutwa. Najiuliza kama Tundu Lissu anatangaza mgomo wa Wanasheria, hiyo ndiyo hukumu ya kumpata mvamizi?

“Nadhani Wanasheria waisaidie Polisi kumgundua ni nani. Kama kuna taarifa Tundu Lissu mpaka anafikia kusema tukigoma atapatikana aliyefanya haya matendo, aisaidie Polisi waweze kumkamata haraka.” – Joseph Msukuma

Leo katika Historia: GENOCIDE (mauaji ya halaiki) 09 duniani ambayo hukuwahi kuyasikia

 01: WAJERUMANI WALIVYOSAFISHA KABILA LA WAHERERO

 Baada ya kusikia fununu ya MAdini NAMIBIA, Wajerumani walikuja na kutawala pwani ya nchi hiyo na kukaa katikati ya kabila la waherero. Kosa kubwa wenyeji walipojifanya wabishi. Walizungukwa pande zote, Upande uliobaki ulikuwa ni JAngwa ambalo visima vyote vya maji mjerumani alivitia sumu. Ukimbie unywe maji ya sumu au ufe na kiu jangwani au ukutane na risasi. Asilimia 80 ya wenyeji wote waliuwawa kikatili sana bila huruma.

 2:WASOVIETI/USSR WALIPOHAMISHA JAMII NZIMA ya WACHECHNYA

 Kulizuka fununu kuwa WACHECHYA na WAINGUISH walikuwa wanawasaliti warusi wenzao WW2. Kuwapa adhabu serikali iliamuwa kubeba wote kwenye magari na kuwafukizilia maporini bila kumsamehe hata mmoja. Kila aliyebisha alikutana na RISASI. Wachechnya waliuwawa karibu 50% kutokana na sakata hili lililoitwa “Operation Lentil.”.

 3:HAITI:MAUWAJI YA PARSLEY/EL CORTE au (KUKATWA)

Ukabila usikie tu redioni. Hii ilikuwa ni vita ya kikabila. Wadominika walipanga kuwauwa WaHAITI karibu wote nchini mwao chini ya DIKTETA Rafael Leonidas Trujillo. Njia pekee ya kumtofautisha Mdominika na MUHAITI kwa walioleta utata kuwatambua ilikuwa matamshi ya hilo neno/ua PARSLEY, wahaiti walikuwa hawawezi kulitamka vizuri kutokana na Lugha yao. Wote walioshindwa waliuwawa kinyama. Kuepusha risasi zisiishe mapema, Hapa ilikuwa ni Mapanga na marungu asubuhi na mchana.

 4:TAIPEI REBELION: CHINA WATU ZAIDI YA 20mil WALIPOTEZA MAISHA.

Hapa ilikuwa ni vita kati ya jamaa aliwaaminisha watu kuwa yeye ni MDOGO WAKE YESU. Akitawala karibu 1/3 ya nchi yote Hong Xiuquan. Akiongoza jeshi dhaifu kabisa kwa nia ya kuondoa kamali,uonevu, ndoa za wake wengi etc, China ilijikuta chini aya vita vya miaka 10 na kuacha raia zaidi ya 20MIL wakifa na mamia kupotea.

 5:UTURUKI DHIDI YA WANAVIJIJI WAASI

baada ya kupiga picha inasadikiwa wote hao waliuwawa na hao wanajeshi
Wanakijiji wa eneo la DERSIM, walipoleta ubishi kuwa chini ya serikali ya UTURUKI badala yake wakang'ang'ania sheria na taratibu zao, Jeshi lilitumwa, Makabila matatu yaliyojisalimisha yaliuliwa wote, Wakina mama na watoto waliokimbilia kwenye Mapango, Yalifunikwa na mawe, moto ukawashwa na wakafa kwa moshi.Inakadiliwa kwa siku moja watu karibu 2MIl waliuliwa na wengine kutekwa.
 6: DICTETA Wakirusi STALIN alipoua Mamilioni UKRAIN kwa Njaa.

 Waukraini walipata upenyo baada ya kuanguka utawala wa CZAR urusi wakataka kujitawala. Jenelali Stalin alipochukua Madaraka akaliona hilo.Pia Vradmil LENIN alikuwa kaishaweka mikakati ya kurudisha maeneo yote. Wao wakambishia na kuendelea na HARAKATI. Kwanza alikamata wasomi waliokuwa wanahojihoji 5000 na kuwaua wote, Akachukua mashamba ya raia yote. Akawapa adhabu ya njaa hadi nchi nzima isalimu amri kwake. Inasadikiwa kwa sababu ya njaa kila siku watu 2500 walikuwa wanakufa, na walifika watu karibu mil5.

 7:MAUWAJI YALIYOFANYA NA WAZUNGU DHIDI YA WAMAREKANI ASILIA (wahindi wekundu)
Mamilioni ya hawa jamaa waliuliwa bila huruma. Ila hapa tutuzaungumzia kabila dogo tu la MOQUI katika mji ulioitwa AWATOVI huko ALIZONA. Wahispania Makasisi walifika wakawalazimisha jamaa kuwa wakristo wakagoma. Ikabidi liitwe jeshi, maana wakazi waliwachukia wahispania na wachache waliobadili dini. Wanaume wakiwa kwenye sherehe Walivamiwa na kuuliwa. Wanaume wote. Wanawake na watoto wakachukuliwa mateka. Wakiwa njiani wakabishana wawapeleke wapi, wakaamua kuwaua woote ili kujipunguzia mizigo.

 8:Jean Jacques Dessalines alipoigeuza HAITI kuwa taifa la watu weusi 100%

 Kile alichoshindwa kinjekitile wa MAJIMAJI Haiti iliwezekana. Mzungu alikimbizwa na watumwa nchi ikapatia uhuru chini ya mkono wa watu weusi. Baada ya kiongozi wa mapinduzi kuuwawa aliyemfuatia alipinga idea zake za kuwavumilia wazungu na machotara. Amri ilitolewa Kuuwa WAZUNGU WOTE nchi nzima. Hakuishia hapo tu alipita kila mji kuhakikisha agizo linafuatwa. Katika mji mkuu tu WAZUNGU zaidi ya 800 waliuwawa kama wanyama na wengine kukimbia. Ilikuwa revenge ya aina yake. Hadi kesho haiti ni nchi ya watu weusi tu asilimia karibu mia kwa baara la Barani AMERIKA.

 9:VITA VYA BIAFRA - NIGERIA


Tofauti na tanzania tunamakabila mengi yanayopendana, na Nyerere alisaidia kikubwa, Hii haikuwa hivyo Nigeria. Wanamakabila zaidi ya 300 na yalikuwa karibu karibu kilichosababisha ugomvi mara kwa mara.Tatizo lilianza pale Kabila/kundi kubwa la IGBO walipojikatia nchi na kutengeneza nchi yao ya BIAFRA eneo tajiri kwa mafuta. Serikali haraka ikataka kuwarudisha. Kwa mbinu katili kabisa hata kuzuia chakula na maji yasielekee BIAFRA. Inasemekana kila siku walikuwa wanakufa watu zaidi ya 5000 wengi wao IGBO. Watu zaidi ya Milioni 3 walikufa hadi vita kuisha