Mkurugenzi wa Habari na Mawasiliano wa Simba, Haji Manara amefunguka na kuweka wazi kuwa ni kweli Mshambuliaji wa Yanga, Ibrahim Ajibu Migomba kwa sasa ni kiburudisho tosha nchini lakini amemtosa kuwa mshambuliaji huyo huwezi kumfananisha na Okwi.
Haji Manara amesema hayo kupitia mtandao wake wa kijamii na kusema ni kweli aliwahi kutamka hilo lakini ukweli unabakia pale pale kuwa kwa sasa Ajib bado huwezi kumfananisha na Okwi kwani wanatofauti kubwa ndiyo maana hata idadi ya magoli yao imekuwa kubwa kati yao.
"Ni kweli niliandika Ajibu ni kiburudisho zaid nchini kwa sasa, ila ninaendelea kukemea kashushwa na Mungu ndio imani yangu itakavyo. Kisha sisi tunataka ubingwa, viburudisho peleka kwenye minuso, ndio maana tuna Okwi kama mbadala wa viburudisho, goli nane kwa tano wapi na wapi" aliandika Manara
Mshambuliaji wa Simba Emmanuel Okwi kwa sasa ndiye anayeongoza kwenye Ligi Kuu Bara kwa kuwa na idadi kubwa ya magoli ambayo ni 8 akifuatiwa na mshambuliaji kutoka Yanga Ajib ambaye ana magoli 5 kwa mechi 7 walizocheza.
Simba na Yanga zinatarajiwa kukutana Jumamosi hii Oktoba 28, 2017 katika mzunguko wa nane wa Ligi Kuu Tanzania Bara
here
Tuesday, October 24, 2017
Sunday, October 22, 2017
"8 Attributes That Show A Lady Will Become A Stingy Wife"

It perplexes me when a lady often nags and finds fault in everything just because her boyfriend is going through difficult time but the moment he climbs the ladder of success and achieves greatness, she will start being tolerant and nice even though she has been a nagging girlfriend.
When this character is noticed in a lady, it should ring a bell to guys that careful tactful need to be employ when dealing with such lady.
Below are the evidences that shows a lady will become very stingy when you marry her.
1. She presents inferior gifts to her boyfriend
For a lady who present inferior gifts such as N100 recharge card, mallam perfume, slippers, china boxers and singlets as birthday gift for her boyfriend shows that she will become a stingy and disastrous wife. It's a shameful thing to see how some ladies treat their boyfriends like a worthless dog hereby presenting an inferior gift to a guy who went extra mile to please them during their birthday celebration.
2. She doesn't want to lose anything
According to Prof Tosyne2much, he opined that some ladies are so stingy that they share similar characteristics with our policemen. When you visit them, you will be the one to spend, when they visit you, you will still be the one to spend. These kind of ladies are stingy and will contribute nothing in marriage.
3. She always claim to be broke
A lady who always claims to be broke at all time when her account is actually fat indicates that the probability is high for her to become a home wrecker. Such ladies are only interested in what a guy can offer financially but immediately things turn sour, you won't see their brake light again.
4. I can't spend on guys
It's a huge blow on ladies whose brains are wired to the belief that financial responsibilities and pressure should only be mounted on guys while the ladies go about flexing. As a result of this, many of them see marriage as a route to escape from poverty. Some of them will even say that they can never call a guy who sends them recharge card (what a wack mentality). These kind of ladies can't help build a home.
5. She can't Lend her Boyfriend Money
It's very shameful that many useless ladies always claim that they can't respect their boyfriends if they borrow him money. This is nothing but bullshit. The last time I check, relationship is give and take and it should emanate from both side. Never even consider walking down the aisle with such a lady.
6. She hates the idea of doing dutch on dates
I have seen cases where some stingy ladies grumble and murmur like children of Israel saying that their boyfriends do not love them just because their boyfriends demanded that the bill be splitted and paid by each party when on date. These categories of ladies will end up causing problems in the family as they are stubborn headed to pool resources together.
7. She's desperate to know her boyfriend's monthly income
I don't really blame guys who are bent on not disclosing their monthly income to their girlfriend, this is because many ladies are only curious to know so that they will know how to bring up cooked up stories to scam him. Survey has it that any lady who is desperate to know her boyfriend's monthly income is nothing but a selfish lady. Desist from such a lady.
8. She wants everything for free
They always advocate no sex before marriage yet they want everything for free while they are not ready to pay a sacrifice. However, ladies who want everything on a platter of gold need to understand that a guy will never cherish you if you are always at the receiving end. Guys like it when they beg a lady to accept their money or gifts. Ladies of this nature will become stingy wives
The only reason to date your friend's ex Boyfriend
You shouldn't let your friend's grievances stop you from dating someone you like doesn't matter if it's your friend's ex
Many people say 'never date your friend's ex-boyfriend' and how it breaks the girl code. But according to relationship and life coach Marie Dubuque, it all depends on the situation between your friend and her ex.
"if enough time has elapsed and your friend is over him in a reasonable way, then it's okay to date your friend's ex", Dubuque says.
A reasonable time is if after a year your friend is still not over her past relationship then it's okay to date her ex, the relationship coach says this is because you shouldn't let your friend's grievances stop you from dating someone you like doesn't matter if it's your friend's ex.
You should also advise your friend to seek help because a year is quite enough time to get over a failed relationship.
Aside this, if your friend just broke up let's say about a month and she's still grieving over ex boyfriend, then you'll really be breaking the girl code if you get into a relationship with your friend's ex.
How To Make Your Partner/Spouse Ask For More [MUST READ]

While some people believe that se'x is no big deal in a relationship or marriage, others see it as something they only want to share with someone special to them.
The fact is, no sane person would want to force his or her partner/spouse to have se'x with them.
So if you've reached that point in your relationship where you want to take it to the next level, you can always soothe some of his/her fears and reassure him/her that you are really a person he or she can fully trust.
After you do some of the below magical tricks, you can be rest assured that se'x will come naturally:
1. Be Dependable:
If you want to make your partner/spouse want to have se'x with you, then you should show him/her what an amazingly dependable person you are. If your girl is going to trust you enough to have se'x with you, whether it's her first time or if she's had se'x before, then she has to feel like she can depend on you. One of her fears may be that as soon as you have se'x, she won't be able to rely on you anymore because you would have gotten what you wanted. So, prove her wrong by being an upstanding and dependable guy.
2. Give it time:
Some guys can be ready to have se'x with a girl in the time it takes to down a beer, while some girls can take months, or even longer, to decide that they're ready to make love. And some girls -- sorry, gentlemen -- are really adamant about holding out for the one, and don't even want to have se'x before marriage. So, don't rush into it -- wait for the girl to trust you first. If you want to make your girlfriend want to have se'x with you, the worst thing you can do is bring it up or try to force it when it's way too early. This will turn your girlfriend off and will make her much less likely to sleep with you.
3. Don't act like you're obsessed with se'x:
Let's face it -- if you're a male of a certain age who is desperate for his girlfriend to have se'x with him, then you probably are obsessed with se'x. But that doesn't mean you have to make jokes, innuendos, or even blatant references to se'x all the time. The last thing you want your girlfriend to think is that you're a horndog who is so obsessed with se'x that you don't care which lady comes into your bed. You should make her feel special, like you want only her.
4. Be Loyal:
If you want to make your girlfriend trust you, then you have to be loyal to her. She'll never have se'x with you if she thinks you're talking to or checking out other women, or even hanging out with other women. Though you don't have to be rude to or ignore other women, you should have a laser-sharp focus on your girlfriend so she knows that you will always be there for her, especially after you start having se'x.
5. Make Sure She Is Ready For Se'x:
If you really want to treat your lady well, then you have to be able to have an idea about whether or not she's ready for se'x. If you're her first boyfriend, if she's se'xually inexperienced, or if she's deeply religious or has other moral convictions that make her steadfast about not having se'x, then you should back off and wait for her to trust you enough to even consider having se'x with you.
6. Be Prepared:
If you plan on trying to have se'x, or even talking about having se'x with your girl, then you should be prepared with some condoms in case the mood strikes her. If she wants to have se'x and you have to run out to the drug store for some condoms, this may make your first se'xual experience fall flat
7.Set The Mood:
If you want your girl to have se'x with you, then you have to set the mood. You should start the evening by doing something romantic to soften her up. Then, go back to your (clean) apartment, which should be stocked with red wine, grapes, chocolate, and some light jazz on the radio. Light the candles and turn the radio on to get her in a romantic mindset, and offer her something to eat or drink.
8. Kiss Her:
If you want your girl to have se'x with you, then you have to be a master kisser. Even if you've been kissing for a while, you should still know how to kiss her in a variety of ways and make your kisses feel fresh. Don't overwhelm her and grope her the second you lock lips. Instead, take it slow, grazing your lips as you touch her hair or stroke her face.Take breaks from kissing so she has time to come up for air and want you even more.You are not very likely to have se'x with your girlfriend if all you've done is kiss. It takes a bit longer for things to reach a natural progression.
9. Play Hard To Get:
If you really want to make your girlfriend want you, then you shouldn't act like a se'xual beast, moving rapidly from kissing to touching, to ripping off your clothes and practically levitating into the bedroom. Instead, you should kiss your girlfriend for a few seconds, then hold back, stroke her, and talk to her. Repeat this move a few times and wait for her to go wild. Why does playing hard to get work? Because this will make your girlfriend feel like you like her, but that you're in control of your desires and aren't desperate to get your hands all over her -- even if you are. This will make her want to be the one who asks for more.
10. Touch Her:
If you want to turn on your girlfriend, you can start thinking about doing more than just kissing. Begin by lightly caressing her arms, the back of her head and hair, and then, as things progress, stroke her breasts under her shirt or wait for her to touch you. If your clothes are off or partly off, you can kiss her breasts or touch her through her underwear to get her in the mood.
11. Don't Pressure Her:
If your girlfriend says she's not ready to have se'x with you, then you shouldn't pressure her. Don't try making any arguments -- saying things like, "But we've been together for so long," "Everyone else is doing it," or "But I really, really like you," isn't going to make her feel any better. In fact, trying to reason with her will only make her more frustrated, annoyed, and much less likely to sleep with you
Jinsi Mbuzi Anavyo Tumika Katika Tiba Dhidi Ya Tatizo La Nguvu Za Kiume.
Wanyama na ndege au bidhaa ama vitu vitokanavyo nao huweza kutumika katika tiba dhidi ya magonjwa na matatizo mbalimbali ya kifaa.
Mbuzi Dume aliye komaa. Nyama, korodani na dhakari zinazo faa kutumika kama lishe maalumnu kwa wanaume wenye tatizo la ukosefu na upungufu za kiume vinatakiwa kutokana na mbuzi beberu aliye komaa
Katika makala ya leo tutatazama namna mnyama mbuzi anavyo tumika katika tiba asilia ya tatizo la ukosefu na/ama upungufu wa nguvu za kiume.
Mbuzi jike na dume kwa pamoja wanaweza kutumika katika tiba dhidi ya tatizo la ukosefu na upungufu wa nguvu za kiume kwa namna tofauti tofauti.
Wanyama hawa hawatumiki kama tiba persee ila wanatumika kama lishe maalumu kwa watu wanao tumia tiba asilia za tatizo la nguvu za kiume .
Matumizi ya mnyama huyu si tu kwa wanaume wenye tatizo la ukosefu na ama upungufu wa nguvu za kiume, bali hata kwa wanaume ambao hawana tatizo hilo lakini wanataka kuzitunza,kuzilinda na / ama kuziimarisha nguvu zao.
JINSI MBUZI WANAVYO TUMIKA KATIKA TIBA YA TATIZO LA UKOSEFU NA/ AMA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME.
Mbuzi anaweza kutumika kama sehemu ya tiba -lishe ama lishe maalumu kwa wanaume wanao sumbuliwa na tatizo la ukosefu na /ama upungufu wa nguvu za kiume kwa kufuata utaratibu ufuatao
A. MBUZI JIKE
Mahitaji
1. Lita moja ya maziwa ya mbuzi
2. Punje kumi na nne za tende au vijiko vikubwa vinne vya asali ya tende
3. Kijiko kimoja kikubwa cha unga wa hiriki (Unga wa hiriki unapatikana kwa kusaga hiriki. Kwa lugha nyingine, unga wa hiriki ni hiriki iliyo sagwa )
4. Vijiko viwili vidogo vya dawa asilia ya Jiko.
5. Kikombe cha maji ya moto au vuguvugu chenye ujazo wa mills 250.
Matayarisho
1. Changanya lita moja ya maziwa fresh ya mbuzi na punje kumi na nne za tende au changanya hiyo lita moja ya maziwa fresh ya mbuzi na vijiko vikubwa vinne vya asali ya tende. Tia kwenye chupa au chombo chochote kisafi na salama na ambacho unaweza kukitumia kuhifadhia, kisha koroga na uhifadhi ndani ya friji halafu acha mchanganyiko wako usiku kucha.
2. Ikifika asubuhi, changanya mchanganyiko huu na kijiko kimoja kikubwa cha hiriki iliyo sagwa, vijiko vitatu vya dawa ya jiko iliyo katika mfumo wa unga unga kisha koroga halafu gawanya dawa yako katika portion mbili zenye ujazo sawa.
MATUMIZI
Tumia kunywa lishe hii mara mbili kwa siku asubuhi na usiku na utafanya hivyo mara moja kwa wiki kwa wiki nne mfululizo. Hapa maana yake ndani ya mwezi mmoja, utatakiwa kuwa umetumia lishe hii mara nne tu.
JAMBO LA KUZINGATIA
Lishe hii inaenda sambamba na matumizi ya dawa asilia ya jiko. Unashauriwa kutumia lishe hii katika kipindi ambacho unatumia jiko pia. Ingawa lishe hii utakuwa ukiitumia mara moja kwa wiki kwa muda wa wiki nne, dawa ya jiko utatakiwa kuitumia mara mbili kwa siku kwa muda wa siku thelathini.
B: MBUZI DUME
Sehemu ya mbuzi dume inayo tumika katika tiba dhidi ya tatizo la ukosefu na upungufu wa nguvu za kiume ni KORODANI, NYAMA (HUSUSANI NYAMA YA MBAVU AU SHINGO ) pamoja na DHAKARI.
MAHITAJI
i. Korodani za mbuzi zilizo
ii. Pink salt ( Chumvi ya pink ) kijiko kidogo kimoja
iii. Dawa ya jiko ( Eidha iliyo sagwa katika unga au iliyo katika mfumo wa mizizi )
iv. Sufuria lenye uwezo wa kubeba kuanzia lita tatu za maji na kuendelea
v. Maji lita moja na nusu
MATAYARISHO
i. Chukua korodani za mbuzi kisha tia kwenye sufuria
ii. Ongeza maji lita moja na nusu
iii.Ongeza pink salt kijiko kidogo kimoja
iv.Ongeza vijiko vitatu vidogo vya dawa ya jiko iliyo katika mfumo wa unga au kipande kimoja cha mzizi wa jiko.
v.Chemsha mchanganyiko wako hadi utokote.
vi.Ipua, chuja makapi weka pembeni ubaki na supu yako.
MATUMIZI
Tumia kunywa supu yako hii mara moja tu.
JAMBO LA KUZINGATIA
Lishe hii inaenda sambamba na matumizi ya dawa asilia ya jiko. Unashauriwa kutumia lishe hii katika kipindi ambacho unatumia jiko pia. Ingawa lishe hii utakuwa ukiitumia mara moja kwa wiki kwa muda wa wiki nne, dawa ya jiko utatakiwa kuitumia mara mbili kwa siku kwa muda wa siku thelathini.
Ama kwa upande wa DHAKARI ya mbuzi, jinsi inavyo tumika kama lishe maalumu kwa wanaume wenye tatizo la ukosefu na upungufu wa nguvu za kiume , matayarisho yake yapo kama ifuatavyo :
i. Dhakari za mbuzi kuanzia tatu hadi tano ambazo zimenyonyolewa tayari( Hizi unaweza kuzipata ukienda machinjioni )
ii. Pink salt nusu kijiko kidogo
iii.Vijiko vudogo viwili vya dawa ya jiko iliyo katika unga.
JINSI YA KUTAYARISHA
Kausha dhakari zako kwenye mwanga wa jua. Zikisha kauka, zisage hadi zisagike kisha changanya na nusu kijiko cha pink salt, na vijiko viwili vidogo vya daw ya jiko iliyo katika ungaunga kisha tumia kulamba mchanganyiko wako . Utakuwa unafanya hivyo mara mbili kwa siku asubuhi na jioni. Utafanya hivyo hadi mchanganyiko wako utakapo kamilika.
NYAMA YA BEBERU ( NYAMA YA MBUZI DUME ) KAMA LISHE MAALUMU KWA WANAUME WENYE TATIZO LA UKOSEFU WA NGUVU ZA KIUME.
Jinsi ya kutumia nyama ya beberu la mbuzi kama lishe maalumu kwa mwanaume mwenye tatizo la ukosefu na / ama upungufu wa nguvu za kiume, fuata maelekezo yafuatayo :
Mahitaji
i. Nyama ya beberu iliyo chomwa, kiasi cha nusu kilo au kilo moja kulingana na uwezo wako wa kula.
ii. Nusu lita ya asali ya tende au robo kilo ya tende
iii.Pink salt kijiko kidogo kimoja
iv. Vijiko vidogo vitatu vya dawa ya jiko.
MATAYARISHO
Changanya kijiko kimoja kidogo cha pink salt kwenye nusu lita ya asali ya tende kisha ongeza ndani yake vijiko vidogo vitatu vya dawa ya jiko halafu koroga hadi vichangamane.
MATUMIZI
Chukua kipande cha nyama yako ya mbuzi, chovya kwenye mchanganyiko wako kisha kula hadi utakapo maliza vipande vyako vyote vya nyama. Utafanya hivyo mara moja tu inatosha sana.
AU KAMA HAUNA ASALI YA TENDE
Changanya pink salt na dawa ya jiko, halafu chukua kipande chako cha nyama, chovya kwenye mchanganyiko wa jiko na pink salt halafu kula pamoja na punje moja ya tende(Naposema punje simaanishi mbegu, namaanisha ile sehemu ya tende inayo faa kuliwa )
Utafanya hivyo hadi kiasi chote cha tende kitakapo isha. Na utafanya hivyo mara moja tu.
JIANDAE KUSOMA MAKALA NYINGINGE KUHUSU AINA MBALIMBALI ZA LISHE MAALUMU KWA WANAUME WENYE TATIZO LA UKOSEFU NA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME.
MAKALA HAYA YAMEANDALIWA NA DUKA LA NEEMA HERBALIST LILILOPO UBUNGO JIJINI DAR ES SALAAM, JIRANI NA SHULE YA MSINGI UBUNGO NATIONAL HOUSING NYUMA YA JENGO LA UBUNGO PLAZA.
WASILIANA NASI KWA SIMU NAMBA 0766 53 83 84
WASILIANA NASI KWA SIMU NAMBA 0766 53 83 84
Monday, October 9, 2017
Kanuni Nne Za kujenga Mahusiano bora ya kimapenzi
Hakuna binadamu asiyefahamu nini maana ya mapenzi na kama wapo basi ni wachache sana na wanaweza kuwa hawafahamu kwa maneno lakini kivitendo wanakuwa wanafahamu aidha kwa kuona, kusikia na hata kwa wao wenyewe kushiriki kwenye mapenzi hayo.
Na hakuna binadamu yeyote asiyependa kupenda au kupendwa, wote tunapenda kupenda na pia tunapenda kupendwa in . Na siku zote ukipenda na usipopendwa pale unapopenda huwa inakuwa ni huzuni sana na wengine hufikia hatua mbaya sana za kufikiria mengine mengi tu ya hatari pale mapenzi yanapokuwa machungu kwao.
Hii ndio sababu wengi wetu huwa tunakaa pale tunapoona kweli kuna mapenzi na si kukaa pale ambapo unaona unadanganywa au kuzungushwa kila siku. Lakini kuna wakati tunaweza kujikuta hata pale tunapopenda na kupendwa pia panaharibika baada ya muda na kunakuwa na ugomvi na kukosa maelewano baina yenu na wakati mwingine usifahamu kwa nini hamuelewani au ukaelewa lakini ukakosa njia za kutatua.
Zifuatazo ni baadhi tu ya njia mbalimbali za kufanya ukae na mpenzi wako kwa muda mrefu kwenye mahusiano na mkafurahia mapenzi yenu popote pale mtakapokuwa na mtakapoishi.
1. Kuwa na muonekano chanya kwa mpenzi wako.
Ukiwa ni mtu wa kuangalia mabaya/kasoro sana kwa mpenzi wako kuliko mazuri yake hautakuja kukaa kwenye mahusiano kwa muda mrefu hata siku moja, utaendelea kubadilisha Wmwanaume / Wanawake kila siku na mwisho wa siku utajiona huna bahati kwenye mapenzi na wakati Unayeyaharibu mapenzi yako ni wewe Mwenyewe...kakuna asiye na kasoro (Ukiwemo Wewe Mwenyewe).
Kwa hiyo muonyeshe mpenzi wako mapenzi bora na umrekebishe pale anapokosea Bila Kuwa Na Lawama Mara Kwa Mara, Kuna Makosa Mengine Ni Hakuna binadamu asiyefahamu nini maana ya mapenzi na kama wapo basi ni wachache sana na wanaweza kuwa hawafahamu kwa maneno lakini kivitendo wanakuwa wanafahamu aidha kwa kuona, kusikia na hata kwa wao wenyewe kushiriki kwenye mapenzi hayo.
Na hakuna binadamu yeyote asiyependa kupenda au kupendwa, wote tunapenda kupenda na pia tunapenda kupendwa in return. Na siku zote ukipenda na usipopendwa pale unapopenda huwa inakuwa ni huzuni sana na wengine hufikia hatua mbaya sana za kufikiria mengine mengi tu ya hatari pale mapenzi yanapokuwa machungu kwao.
Hii ndio sababu wengi wetu huwa tunakaa pale tunapoona kweli kuna mapenzi na si kukaa pale ambapo unaona unadanganywa au kuzungushwa kila siku. Lakini kuna wakati tunaweza kujikuta hata pale tunapopenda na kupendwa pia panaharibika baada ya muda na kunakuwa na ugomvi na kukosa maelewano baina yenu na wakati mwingine usifahamu kwa nini hamuelewani au ukaelewa lakini ukakosa njia za kutatua.
Zifuatazo ni baadhi tu ya njia mbalimbali za kufanya ukae na mpenzi wako kwa muda mrefu kwenye mahusiano na mkafurahia mapenzi yenu popote pale mtakapokuwa na mtakapoishi.
1. Samehe na kusahau.
Unapomsamehe mpenzi wako kwa kosa lolote alilokosa basi hakikisha umemsamehe kiukweli na ujitahidi kusahau kosa alilotenda itasaidia uwe na amani ya moyo zaidi kuliko kumsamehe kwa usoni tu lakini moyoni ukawa na Donge bado, hii hupelekea kupunguza mapenzi kwa kiasi Fulani kwake na kujikosesha furaha ya mapenzi.Anapokosea siku nyingine usimkumbushe kosa lake la nyuma kwa sababu itamfanya ajione mwenye huzuni na ajione kuwa hakusamehewa.
2. Mpe nafasi na uhuru mpenzi wako.
Mnapokuwa kwenye mahusiano jitahidini kwa hali na mali kupeana nafasi/uhuru kwenye mambo mengi hasa yale ya kitaaluma zaidi na kimaisha.anapokwambia yupo kwenye kikao cha kikazi jaribu kumuelewa na umpe support ya kutosha kwenye kazi zake au biashara zake au hata masomo yake.
usipende sana kulalamika pale anapochelewa kurudi kazini au kutoka kwenye biashara zake bali mpokee kwa upole na baada ya kupumzika ndipo muulize kwa upole na kimahaba zaidi kwanini siku hizi anachelewa sana kurudi au kwenye biashara zake au shuleni tofauti na zamani.
Hii itajenga zaidi kuliko kubomoa kwa kulalamika na kupayuka mbele yake na huku yeye akiwa hata hajapumzika na itamfanya siku nyingine aione nyumba chungu kitu ambacho si kizuri kwenu wote wawili.
3. Mfanye mwenza wako ajivunie kuwa nawe kila wakati.
Hakikisha katika mapenzi yenu kila siku unamfanya mpenzi wako ajivunie kuwa nawe na hakikisha humfanyi ajute kwa kukuchagua wewe miongoni mwa wote aliowaona. Usijidanganye hata siku moja kuwa kwa kumpata tu na kwa yeye kukupenda basi hajaona mwingine wa kuweza kuwa naye.
Wapo wengi sana anaoweza kuwa nao lakini amekuchagua wewe katika hao wote, kwa hiyo usimfanye aanze kuwafikiria wale wengine wanaomfuatilia kila siku na kumsumbua.Ukianza kumwacha aanze kuwafikiria wengine aidha kwa wewe kuwa unamkosesha amani ya mapenzi kila mara au kwa mengine mabaya ndani ya mapenzi basi ipo siku utaishia pabaya.
4. Msadie kwa khali na mali kila inapowezekana.
Kwenye mahusiano huwa kuna kupanda na kushuka miongoni mwa wapenzi na hasa kiuchumi na hata kisaikolojia. Hakuna kitu kizuri kwenye mapenzi kama mtu kupata tatizo na akasaidiwa na mpenzi wake katika hali ambayo hakuitegemea, namaanisha mpenzi wako akipata tatizo lolote hakikisha wewe ndo unakuwa wa kwanza kulifahamu na kulifanyia kazi.
Sio matatizo yote yanamalizwa kwa pesa so hata ushauri na kumpa mawazo chanya inasaidia sana na kumfanya awe na furaha kuwa nawe.Kama unampenda usione tabu kumsaidia kwa kuogopa kuonekana eti unahonga, huyo ni mpenzi wako kwa hiyo jiamini na umpe kile anachostahili kusaidiwa na mpenzi wake.
Yapo mambo mengi sana ambayo kama mkiyafanya kwenye mapenzi basi uhusiano wenu utakuwa wa kudumu na wenye furaha sana ingawa hapa nimezungumzia kwa uchache sana lakini nina imani itasaidia sana kwa wote walio kwenye mahusiano.
Mapenzi hayana ndumba au limbwata hata siku moja, unapoona wapenzi wengi wana furaha kwenye mapenzi yao ni kwa sababu wanavumiliana kwa mengi na kusameheana kwa mengi.
Sana Na Unaweza Kuyarekebisha Kwa Kukaa Chini Na Mpenzi Wako Mkayamaliza Kwa Dakika 5 Tu Lakini Wengine Huwa Issue Kubwa Kwao Na Kusababisha Mwisho Mbaya. Kanuni sita (6) za kudumu katika mahusiano ya kimapenzi
Na hakuna binadamu yeyote asiyependa kupenda au kupendwa, wote tunapenda kupenda na pia tunapenda kupendwa in . Na siku zote ukipenda na usipopendwa pale unapopenda huwa inakuwa ni huzuni sana na wengine hufikia hatua mbaya sana za kufikiria mengine mengi tu ya hatari pale mapenzi yanapokuwa machungu kwao.
Hii ndio sababu wengi wetu huwa tunakaa pale tunapoona kweli kuna mapenzi na si kukaa pale ambapo unaona unadanganywa au kuzungushwa kila siku. Lakini kuna wakati tunaweza kujikuta hata pale tunapopenda na kupendwa pia panaharibika baada ya muda na kunakuwa na ugomvi na kukosa maelewano baina yenu na wakati mwingine usifahamu kwa nini hamuelewani au ukaelewa lakini ukakosa njia za kutatua.
Zifuatazo ni baadhi tu ya njia mbalimbali za kufanya ukae na mpenzi wako kwa muda mrefu kwenye mahusiano na mkafurahia mapenzi yenu popote pale mtakapokuwa na mtakapoishi.
1. Kuwa na muonekano chanya kwa mpenzi wako.
Ukiwa ni mtu wa kuangalia mabaya/kasoro sana kwa mpenzi wako kuliko mazuri yake hautakuja kukaa kwenye mahusiano kwa muda mrefu hata siku moja, utaendelea kubadilisha Wmwanaume / Wanawake kila siku na mwisho wa siku utajiona huna bahati kwenye mapenzi na wakati Unayeyaharibu mapenzi yako ni wewe Mwenyewe...kakuna asiye na kasoro (Ukiwemo Wewe Mwenyewe).
Kwa hiyo muonyeshe mpenzi wako mapenzi bora na umrekebishe pale anapokosea Bila Kuwa Na Lawama Mara Kwa Mara, Kuna Makosa Mengine Ni Hakuna binadamu asiyefahamu nini maana ya mapenzi na kama wapo basi ni wachache sana na wanaweza kuwa hawafahamu kwa maneno lakini kivitendo wanakuwa wanafahamu aidha kwa kuona, kusikia na hata kwa wao wenyewe kushiriki kwenye mapenzi hayo.
Na hakuna binadamu yeyote asiyependa kupenda au kupendwa, wote tunapenda kupenda na pia tunapenda kupendwa in return. Na siku zote ukipenda na usipopendwa pale unapopenda huwa inakuwa ni huzuni sana na wengine hufikia hatua mbaya sana za kufikiria mengine mengi tu ya hatari pale mapenzi yanapokuwa machungu kwao.
Hii ndio sababu wengi wetu huwa tunakaa pale tunapoona kweli kuna mapenzi na si kukaa pale ambapo unaona unadanganywa au kuzungushwa kila siku. Lakini kuna wakati tunaweza kujikuta hata pale tunapopenda na kupendwa pia panaharibika baada ya muda na kunakuwa na ugomvi na kukosa maelewano baina yenu na wakati mwingine usifahamu kwa nini hamuelewani au ukaelewa lakini ukakosa njia za kutatua.
Zifuatazo ni baadhi tu ya njia mbalimbali za kufanya ukae na mpenzi wako kwa muda mrefu kwenye mahusiano na mkafurahia mapenzi yenu popote pale mtakapokuwa na mtakapoishi.
1. Samehe na kusahau.
Unapomsamehe mpenzi wako kwa kosa lolote alilokosa basi hakikisha umemsamehe kiukweli na ujitahidi kusahau kosa alilotenda itasaidia uwe na amani ya moyo zaidi kuliko kumsamehe kwa usoni tu lakini moyoni ukawa na Donge bado, hii hupelekea kupunguza mapenzi kwa kiasi Fulani kwake na kujikosesha furaha ya mapenzi.Anapokosea siku nyingine usimkumbushe kosa lake la nyuma kwa sababu itamfanya ajione mwenye huzuni na ajione kuwa hakusamehewa.
2. Mpe nafasi na uhuru mpenzi wako.
Mnapokuwa kwenye mahusiano jitahidini kwa hali na mali kupeana nafasi/uhuru kwenye mambo mengi hasa yale ya kitaaluma zaidi na kimaisha.anapokwambia yupo kwenye kikao cha kikazi jaribu kumuelewa na umpe support ya kutosha kwenye kazi zake au biashara zake au hata masomo yake.
usipende sana kulalamika pale anapochelewa kurudi kazini au kutoka kwenye biashara zake bali mpokee kwa upole na baada ya kupumzika ndipo muulize kwa upole na kimahaba zaidi kwanini siku hizi anachelewa sana kurudi au kwenye biashara zake au shuleni tofauti na zamani.
Hii itajenga zaidi kuliko kubomoa kwa kulalamika na kupayuka mbele yake na huku yeye akiwa hata hajapumzika na itamfanya siku nyingine aione nyumba chungu kitu ambacho si kizuri kwenu wote wawili.
3. Mfanye mwenza wako ajivunie kuwa nawe kila wakati.
Hakikisha katika mapenzi yenu kila siku unamfanya mpenzi wako ajivunie kuwa nawe na hakikisha humfanyi ajute kwa kukuchagua wewe miongoni mwa wote aliowaona. Usijidanganye hata siku moja kuwa kwa kumpata tu na kwa yeye kukupenda basi hajaona mwingine wa kuweza kuwa naye.
Wapo wengi sana anaoweza kuwa nao lakini amekuchagua wewe katika hao wote, kwa hiyo usimfanye aanze kuwafikiria wale wengine wanaomfuatilia kila siku na kumsumbua.Ukianza kumwacha aanze kuwafikiria wengine aidha kwa wewe kuwa unamkosesha amani ya mapenzi kila mara au kwa mengine mabaya ndani ya mapenzi basi ipo siku utaishia pabaya.
4. Msadie kwa khali na mali kila inapowezekana.
Kwenye mahusiano huwa kuna kupanda na kushuka miongoni mwa wapenzi na hasa kiuchumi na hata kisaikolojia. Hakuna kitu kizuri kwenye mapenzi kama mtu kupata tatizo na akasaidiwa na mpenzi wake katika hali ambayo hakuitegemea, namaanisha mpenzi wako akipata tatizo lolote hakikisha wewe ndo unakuwa wa kwanza kulifahamu na kulifanyia kazi.
Sio matatizo yote yanamalizwa kwa pesa so hata ushauri na kumpa mawazo chanya inasaidia sana na kumfanya awe na furaha kuwa nawe.Kama unampenda usione tabu kumsaidia kwa kuogopa kuonekana eti unahonga, huyo ni mpenzi wako kwa hiyo jiamini na umpe kile anachostahili kusaidiwa na mpenzi wake.
Yapo mambo mengi sana ambayo kama mkiyafanya kwenye mapenzi basi uhusiano wenu utakuwa wa kudumu na wenye furaha sana ingawa hapa nimezungumzia kwa uchache sana lakini nina imani itasaidia sana kwa wote walio kwenye mahusiano.
Mapenzi hayana ndumba au limbwata hata siku moja, unapoona wapenzi wengi wana furaha kwenye mapenzi yao ni kwa sababu wanavumiliana kwa mengi na kusameheana kwa mengi.
Sana Na Unaweza Kuyarekebisha Kwa Kukaa Chini Na Mpenzi Wako Mkayamaliza Kwa Dakika 5 Tu Lakini Wengine Huwa Issue Kubwa Kwao Na Kusababisha Mwisho Mbaya. Kanuni sita (6) za kudumu katika mahusiano ya kimapenzi
Subscribe to:
Posts (Atom)